RSS
Karibu katika Tovuti ya Habari ya Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
       
Katika ujumbe wake kwa Waislamu wote dunia kwa mnabasa wa maafa makubwa ya mafuriko nchini Pakistan, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu asema:
Tuwasaidie haraka ndugu zetu waliopatwa na masaibu wa Pakistan kwa msingi wa udugu wa Kiislamu
2010/08/31 - 23:31
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amewatumia ujumbe Waislamu kote duniani akiashiria maafa makubwa ya mafuriko yaliyotokea nchini Pakistan, kiwango kikubwa cha hasara iliyosababishwa na mafuriko hayo na haja ya misaada ya dharura ya mamilioni ya Waislamu wa Pakistan. Amesisitiza kuwa: “Katika kipindi hiki nyeti tunapaswa kutekeleza wajibu wetu kwa mujibu wa udugu wa Kiislamu na kuwasaidia haraka ndugu zetu waliopatwa na masaibu."
Matini kamili ya ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Waislamu kote ulimwenguni ni hii ifuatayo:
www.leader.ir
Kiongozi Muadhmu wa Mapinduzi ya Kiislamu:

www.leader.ir
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu:




Imam Khomeini
Alikuwa Roho ya Allah ambaye kwa kutumia mkono mweupe wa Mussa na maelezo yanayotenganisha haki na batili ya Mustafa, alijifunga kibwebwe kuwaokoa watu wanaodhulumiwa.
Palestina
Suala la Palestina ndilo suala muhimu zaidi na kadhia kuu ya ulimwengu wa Kiislamu
Uhuru wa Kijamii
Uhuru ni sehemu ya maumbile ya mwanadamu, na uhuru wa kijamii katika kamusi ya kisiasa duniani una asili katika Qur'ani.
Wanawake
Hii leo tumeweza kuwa na idadi kubwa ya watu wenye vipawa vya kifikra, kielimu, kimatendo, wanasiasa hodari na wataalamu wa masuala ya utamaduni na sanaa chini ya kivuli cha vazi la hijabu.