Katika ujumbe wake kwa Waislamu wote dunia kwa mnabasa wa maafa makubwa ya mafuriko nchini Pakistan, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu asema:
Tuwasaidie haraka ndugu zetu waliopatwa na masaibu wa Pakistan kwa msingi wa udugu wa Kiislamu
2010/08/31 - 23:31
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amewatumia ujumbe Waislamu kote duniani akiashiria maafa makubwa ya mafuriko yaliyotokea nchini Pakistan, kiwango kikubwa cha hasara iliyosababishwa na mafuriko hayo na haja ya misaada ya dharura ya mamilioni ya Waislamu wa Pakistan. Amesisitiza kuwa: “Katika kipindi hiki nyeti tunapaswa kutekeleza wajibu wetu kwa mujibu wa udugu wa Kiislamu na kuwasaidia haraka ndugu zetu waliopatwa na masaibu."
Matini kamili ya ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Waislamu kote ulimwenguni ni hii ifuatayo: